Siasa
IQNA - Mwenyekiti wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu la Iran ameilaani Marekani kwa kutoa uungaji mkono wa kila namna kwa utawala wa Kizayuni wa Israel katika hujuma zake za mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina.
Habari ID: 3479706 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/05
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu leo Alkhamisi ameonana na wajumbe wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wanaomchagua na kusimamia kazi za Kiongozi Muadhamu wa Iran na kusisitiza kuwa, msingi madhubuti na imara wa uungaji mkono wa wananchi kwa Jamhuri ya Kiislamu ni hoja kamili kwa viongozi na maulamaa wote.
Habari ID: 3476615 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/23